TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, October 28, 2014

MISS UTALII AELEZEA JINSI MANAIKI SANG ALIVYOMLAZIMISHA KUMLA "JICHO" NA KUMUHARIBU VIBAYA..!



Mshiriki Miss Utalii Tanzani 2013 pia aliyekuwa balozi wa Hotel zote za Kitalii Tanzania akiwa kwenye picha mahabha nigalgaze.
 Jamaa anaedaiwa kwa sasa kamuoa kabisa Fthiya Kharufan na kumuweka ndani bila kujali yasemwayo.
Hapa pia Fathiya akiwa kwenye picha yake ya Urembo kabla ya kujitoa ufahamu







Na Sakina Shabani
Kha jamani hivyo ndivyo ukiwa kama mzazi unaweza kuonesha mshangao pindi ukisikia maneno haya yanasemwa na mwanao tena kipenzi.
Aliyekuwa mshiriki katika shindano la kumtafuta Miss Utalii Taifa Fathiya Khalfan ameibuka na kutoa tuhuma nzito kwa aliyekuwa mpenzi wake Manaiki Sanga " The Don" Eti kuwa alimlazimisha kumla tendo ambalo kwa sasa limeonekana kushika hatamu kwenye mapenzi ya kileo ambalo limepewa majina lukuki huku wengine wakiita Sauna, Jicho, Kipwinto, mlango wa nyuma, Kiboga na Tigo.
Kwa mujibu wa mtandao wa facebook wa mrembo  huyo alikili kuwa Manaiki Sanga ambae kwa sasa anasema hataki kumuona akiwa hai ama mfu alimsababishia matatizo makubwa katika maisha yake ukiacha suala la picha za uchi lakini jambo jingine zito ni jinsi alivyomfundisha kufanya mapenzi kinyume na maumbile kiasi cha kuzoea hali hiyo.
Fathiya ambae maarufu kama mrembo wa Facebook aliongeza kusema" Namshukuru Maulana huyu mwanaume sio mtu wa kumaindi na kufatilia mambo ya kipuuzi ila nitamuombea Manaiki mabaya hadi naingia kaburini" Alisema Fathiya
Aidha Miss huyo ambae anatoka kwenye familia yenye imani kali huku mwenyewe akisema kuwa Babaake mzazi ni Shekh aliongeza kusema kuwa kwa vile yeye ni msanii na mrembo ameamua kuweka wazi ubaya aliofanyiwa na Manaiki Sanga ambae Fathiya amekili kuwa mmewe wa kupika na kupakua zaidi ya miezi mitano kabla ya kuachana nae.
Maskanibongotz ilifanya jitihada za kumpata Fathiya kupitia simu yake ya kiganjani lakini hakuweza kupatikana lakini alipotafutwa Manaiki alipatikana na kueleza haya" Sasa unataka nikijubu nini kama yeye mwenyewe ameshaongea, ebu acheni mambo yenu ebu andikeni habari za Diamond kukinukisha kwa wanajeshi mmekalia kuandika habari za Manaiki Sanga kwanza picha zenyewe zilipigwa muda sana lakini bado mnafatilia" Alisema Manaiki Sanga
Credit: Maskanibongotz

No comments:

Post a Comment