TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, May 28, 2014

ONYO KALI, CHUNGA SANA NAMBA HIZI ZA MATAPELI WA MJINI, WAMESHAWALIZA WANANCHI WENGI JESHI LA POLISI LAWATANGAZIA KIAMA KUANZIA SASA NI KWENYE OPARESHENI YA KUKAMATA WAHALIFU UNAOENDELEA SASA..!

CHUNGA SANA NAMBA HIZI   ZASIMU ZINAZOTUMIWA NA MATAPELI JIJINI DAR NA MIKOA MINGINE..!
1.0715-426676- Huyu hujifanya yupo Rufiji fundi mkuu
2.0762-601106- Huyu hujifanya meneja wa mladi
3.0783-068678- Huyu ndiye mtafuta Tenda
4.0789-897474- Huyu anajifanya Afsa Suma JKT
Wanambinu nyingi za kumuingiza mjini mtu na tayari wameshawaibia wananchi wengi sana hujifanya wapo 
Hata hivyo taarifa zilizonaswa na blog hii zinasema kuwa Jeshi la Polisi Kinondoni limeanza msako wa chini kwa chini kuanzi tarehe ya leo 28/5/2014 ili kuwanasa watuhumiwa hawa kwani wamekuwa kero kubwa kwa wananchi.

No comments:

Post a Comment