TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, May 30, 2014

ANGALIA ZIARA YA KWANZA YA VIONGOZI WA KITUO CHA RADIO 93.7 E-FM WILAYANI TEMEKE JANA NI SEHEMU YA MAANDALIZI YA MAJUKUMU YA KIJAMII JUMAPILI HII..!

 Mjumbe  kamati ya Usafi Soko la Tandika na Temeke Bw Hassan Mjaliwa akiwaonesha jambo viongozi wa ngazi za juu wa kituo hicho cha radio kinachotarajiwa kuzinduliwa Jumapili hii tarehe moja Uwanja wa Mwembe Yanga Jijini Dar.

  Bw Hassan Mjaliwa akiendelea kutoa maelekezo kwa viongozi wa radio hiyo 93.7 E-FM

 Hapa hivyo jambo la kipekee na lililoleta faraja kwa wananchi wengi ni namna viongozi hao mara baada ya kumaliza ukaguzi wa sehemu zitakazofanywa usafari Jumapili hii kama mchanga wa kituo hicho kwa jamii viongozi hao walijichanganya na wananchi kwa mama ntilie na kupiga msosi mwanzo mwisho kama picha zinavyoonesha hapa.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha 93.7 E-FM Majey anaekula ugari kushoto kwake ni Dizzo ambae ni Program Manager pamoja na Henry Mdimu pamoja na Sos Ambakise

 Mkurugenzi Majey akinawa mikono tayari kupiga msosi kwa mamantilie huko Tandika mtaa wa Ugweno na Mtandu
 Timu nzima ya viongozi wa 93.7 E-FM   Wakiwa ofisini kwa Mkuu wa Wilaya Temeke pamoja na  Mh. Sophia Mjemba


PICHA ZOTE NA LIVINGSTONE MKOI

No comments:

Post a Comment