
VIDEO QUEEN ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio.asogange aliiambia XDEEJAYZ kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu." Na kuongeza kusema kiuno chake kimekuwa deal sana hapa mjini
CREDIT:XDEEJAYZ TANZANI
No comments:
Post a Comment