TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Sunday, February 23, 2014

MOROGORO KWALIPUKA WANANCHI WAKIMBIZANA OVYO KWA HOFU, YADAIWA WATU KUTEKETEA KWA MOTO SOMA HII HAPA YA LEO TOKA MJI HUO KASORO BAHARI..!...!




 Ankle habari. Leo asubuhi eneo la Mikese, Morogoro, tumekutana na na ajali  mbaya sana ya magari mawili, moja la mafuta, kugongana uso kwa uso na kutumbukia mtaroni na yote kushika moto. Inasadikiwa mtu mmoja ambaye ni dereva wa magari hayo kateketea kabisa kwa moto. Picha na Mdau Sixmund


 Hakuna cha kufanyika kutokana na moto mkubwa na moshi mwingi wakati magari hayo yakiteketea
"HABARI ZAIDI USIKOSE GAZETI LA MASKANI BONGO JUMATANO"

No comments:

Post a Comment