TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, February 3, 2014

MFANYABIASHARA MAARUFU AJITIA KITANZI KISA PENZI LA HOUSE GIRL WAKE, MKEWE ALIMFUKUZA BILA KUMPA TAARIFA...!XDEEJAYZ KAZINI




Na Mwandishi wa Xdeejayz
Mfanyabishara mmoja maarufu Mkoani Dar aliyefahamika kwa jina la Saru mwenye umri wa miaka 20 amejitia kitanzi kisa ikidaiwa penzi la House Girl wake.
Habari za uhakika zilizonaswa na Xdeejayz zilisema kuwa kijana huyo ambae anaishi maeneo ya Mbezi Luisi kwa Yusufu alifanyatukio hilo siku ya Jumamosi mchana baada ya mkewe kudaiwa kumfuka msichana wake wa kazi bila ridhaa yake.
"HABARI ZAIDI JUU YA TUKIO HILI USIKOSE GAZETI LAKO PENDWA LA MASKANI BONGO JUMATANO HII YA TEHE 5
"

No comments:

Post a Comment