TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, November 25, 2013

MAAJABU YA XTREME DEEJAYZ YAWASHANGAZA P SQUARE NDANI YA CLUB MAISHA, DVJ MAJEY NA ZUNGU MNYAMA WAWACHANGANYA WANAMUZIKI HAO WASEMA MAMBO HAYO HATA NIGERIA HAKUNA...!!!!



Na Sakina Sahabani
Katika hali isiyotarajiwa na wengi wanamuziki waliokuwa nchini mwishoni mwa juma na kufanya show ya aina yake na kuvunja rekodi ya show zote zilizowahi kufanyika nchini wanamuziki hao walionekan akufurahishwa na XTREME DEEJAYZ iliyokuw ikikamua kwenye kiota cha Burudani bongo Club Maisha huku wanamuziki hao wakiwemo.
Tukio lililotokea Ijumaa iliyopita wakati kundi hatari la utoaji burudani bongo la Xtreme Deejayz lilipokuwa mzigoni huku maelfu ya washuhudia, ambapo wanamuziki hao walifika ndani ya Club hiyo na kujionea vurugu za XTREME DEEJAYZ LIVE DRUMMER wakiwajibika ambapo wanamuziki hao walionekana kuchanganyikiwa na staili hiyo ya kimataifa huku wakisema kuwa kweli Tanzania iko juu kutokana na mambo hayo kwani hata nchini Nigeria kwao hamna labda Marekani na nchi nyingine za Ulaya.

XTREEM DEEJAYZ ilifanikiwa kukonga nyoyo za mashabiki wapatao elfu tatu na mia tano huku Zungu Mnyama kiwa na mzuka wa ajabu sambamba na Hyerpaman Hk. Hata hivyo kwa mujibu wa meneja burudani wa ukmbi huo Gila alisema Ijumaa hii kutakuwa hakutoshi kwani kundi hilo tena litafanya balaa kubwa.
GAZETI LA MASKANI BONGO HILOOO MTANI DESEMBA!

No comments:

Post a Comment