TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, September 30, 2013

WASIWASI WATANDA MSANII RAY KUSOMEWA ALALBADIR KUVIMBISHWA “BUSHA” KISA MKE WA MTU, ATAKIWA KUMUOMBA RADHI RAFIKI YAKE FRANK MTAO KUHUSU MKEWE, CHUCHU HANS APIGWA TARAKA!

 Frank Mtao ambae amedaiwa kumpa taraka mkewe Chuchu Hans kisa  rafiki yake Ray
 Msanii Ray akiwa kwenye majukumu ya kuigiza
  Chuhu Hans





 Moja ya Layout ya gazeti pendwa liliripoti habari ya fumanizi la Ray na Chuchu Hans.

 Chuchu Hans akiwa na mtoto wake


Na Mwandishi Wetu
Ni kipindi kirefu sasa kumekuwa na madai ya kashfa ya msanii Vicent Kigosi “Ray “ kudaiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi  na mke wa mtu ambae pia ni msanii wa bongo muvi Chuchu Hans huku vyombo mbalimbali vya habari hasa magazeti pendwa yakiripoti kwa kina tukio hilo.
Habari za ziada zilizonaswa na Xdeejayz toka kwa mtu wa karibu na familia ya Frank Mtao zilisema kuwa taarifa za Ray kutembea na Chuchu Hans zinaukweli kubwa sana kwani hata tukio la hivi karibuni la Ray kufumaniwa na akiwa na Chuchu Hans wanazichukulia kama ni za ukweli kwani Johari ambae ndiye mchumba harisi wa Ray aliwahi kukutana na mmoja wa wanafamilia wa Frank Mtao na kuwaeleza kila kitu.
Hata hivyo  Ray  inadaiwa amesababisha ndoa ya Frank Mtao kuvunjika kwani hivi karibuni Frank Mtao ambae anaishi nchini Austaralia baada ya tukio la kufumaniwa mkewe na Johari akiwa na Ray nyumbani kwa Chuchu mtangazaji huyo amemtwanga taraka Chuchu Hansa ambae sasa hivi maisha yanamwendea kombo baada ya kushindwa kulipia pango ya nyumba maeneo ya Msasani na kuhamia Mwananyamala kwa Mama Zacharia uswahili.
Aidha  katika hali isiyokuwa ya kawaida Ray anadaiwa amekuwa akimng’ong’a Frank Mtao kwa kujifanya kuwa ni rafiki yake wa karibu  na mara nyingi amekuwa akimpigia simu Frank Mtao na kumuweka roud speak wakati akiwa na Chuchu Hans.
Chanzo hicho kiliendelea kueleza “ Kwa kweli inasikitisha kuna siku Ray alikuwa na Chuchu Hans alimpigia simu Frank Mtao na kuanza kutaniana nae na baadae alimuuliza kama huko hana demu  na Frank alimjibu kuwa anae wa kuzugia na Ray alihitaji Frank amtumie picha yake na Frank alifanya hivyo na picha hiyo aliiona Chuchu Hans na baadae palizuka mtiti mzito” Alisema dada huyo ambae alisema yeye ni binamu wa familia ya Frank.
Aidha watu mbalimbali wameonesha wasiwasi wao kuwa huenda Frank Mtao akalipa vibaya kwa kumsomea alalbadir msanii Ray na kama kweli tuhuma anazotuhumiwa zitakuwa za kweli msanii huyo atakuwa amejipatia matatizo makubwa kutokana na dua hiyo jinsi inavyofanya kazi kama tukio lina ukweli na huenda akashushwa “busha” na baadae atalazimika kutembea na mkwangwaju.

No comments:

Post a Comment