TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, September 27, 2013

POLISI WALIYEMPIGA SHOGA NA KUMDHALILISHA WAZUSHA BALAA, MASHOGA WAANDA MAANDAMAMO MAKUBWA WAKIWEMO TANZANI!


Na Xdeejayz kwa msaada wa mtandao.
Shoga  moja  nchini  Nigeria  limejikuta  likiangukia  mikononi  mwa  polisi  wa  nchini  hiyo  baada  ya  kujifanya  ni  DEMU...
Shoga  hilo  lilikuwa  na  mazoea  ya  kuvaa  nguo  za  kike  na  urembo  mwingine  wa  kike  ikiwa  ni  pamoja  na  keseti  nywele  zake  ili  kuwarubini  wanaume....
Kwa  kifupi  ni  kwamba, ukiliona  ni lazima  ULIMEZEE  MATE...Likivaa  nguo  za  kike,...linapendeza  kuliko  hata  wanawake...
Nyuma  limefungasha  kiaina  ( choo kipo )  na  kifuani  huweka  matiti ya  bandia...Ukilitongoza  ujue  utapewa KABANG ( kiboga )  , maana  ni  dume  hilo.
Wanaume  ambao  si  wadau  wa  KABANG, waliamua  kulilipoti  polisi  ambapo  lilikamatwa ...
Mateso  aliyopewa  huyu  shoga, nadhani  hatakaa  ayasahau  maishani  mwake..
Hata hivyo tukio limeonekana kuwa kera mashoga wote duniani wakiwemo wa hapa nchini Tanzania hivyo wametishia kufanya maandamano makubwa.
Kwa mujibu wa mtandao mmoja nchini humo. 

No comments:

Post a Comment