TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Sunday, September 29, 2013

MAJAMBAZI WALIOMVAMIA FEZA KESSY KUMBE WALITUMWA NA MAADAU WAKE KUMFANYIA KITU MBAYA!




  Siku ya jana mitandao kadhaa ya kijamii ilitaarifa habari ya kusikitisha ya aliyekuwa mshiriki wa Big Brother da Chase Feza Kessy baada ya kuvuamiwa na majambazi wenye silaha nzito, hivyo wasomeji wengi walielezea tukio hilo huenda ni la utengeneza na wabaya wake waliokuwa na nia ya kummalizi.
Feza Kessy  alipatwa na matatizo ya kuvamiwa na majambazi wenye silaha siku mbili zilizopita. Feza Kessy amesema kwamba tangu avamiwe na majambazi hao hajisikii kuwa na amani kabisa. Feza Kessy anaendelea kuwashangaa hao majambazi kwamba silaha walizobeba zilikuwa za nini?, au walidhani kwamba anapesa wakati hakushinda Big brother na alikuwa hana kazi kwa muda miezi mitatu iliyopita. Pole sana Feza Kessy na hizi ni tweet zake akielezea tukio hilo

No comments:

Post a Comment