TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, August 28, 2013

ANT EZEKIA ADAIWA KUFUMANIWA NA MUME WA MTU, ACHANWA VIBAYA NA CHUPA MKONONI!


Aunty Ezekiel.
Ant Ezekiel.mwigizaji wa filamu Swahilihood.
MWIGIZAJI wa kike katika tasnia ya filamu Swahilihood Ant Ezekiel imeripotiwa kupata majeraha katika mkono wake wa
kushoto baada ya kuchimbwa na chupa yenye ncha kali, sakata hilo la hatari lilitokea katika Club ya Billicanas wakati wa show iliyokifanyika hapo chini ya Madam Wema Sepetu chanzo chetu kimetuhabarisha.

Aunty Ezekiel
Mkono aliojeruhiwa Ant
Aunty Ezekiel
Ant kama anavyoonekana akiwa kitandani amelazwa..
 Na Mwandishi Wetu
Siri imefichuka na picha kuvuja zikimunesha muigizaji Ant Ezekiel akiwa na jeraha kubwa kwenye mkono wake wa kushoto baada ya kujeruhiwa vibaya na chumba kufuatia kudaiwa kufumaniwa na mume wa mtu huko Club Billcanas.
Habari za toka kwa vyanzo vyetu vya habari vilisema kuwa Ant siku ya tukio Ant alikuwa mmoja wa wageni waalikwa lakini kumbe kwenye mualiko huo alitumia nafasi ya kutoka na mr wa mtu.
Hata hivyo xdeejyz baada ya kupata taarifa hizo ilimtafuta Ant ambae mahala alipolazwa ni siri kubwa lakini kwa bahati mbaya simu yake iliita bila kupokelewa.

No comments:

Post a Comment