TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, June 26, 2013

JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR LAKAMATA SHEHENA ZA PESA BANDIA, ZILIKUWA ZINAENDA KUWALIZA WAKULIMA MIKOANI!

 Kamanda wa Polisi Kanda Maalu ya Dar es Salaam Bw. Sulemain Kova akionesha baadhi ya pesa bandia za noti zilizokamatwa na Jeshi hilo kwenye msako maalum wa kukata uharifu Jijini Dar unaendelea sasa.
 Kamanda  Kova akionesha bastora iliyokuwa inamikiwa na mwanamke aliyemtaja kwa jina la Grace huko Sinza na baadae ikaibiwa na watu wasiofahamika ndani ya gari yake baada ya kuvunjwa kioo. Hata hivyo silaha hiyo imekamtwa na Polisi ikiwa mikononi mwa majambazi 29 walionaswa na jeshi hilo. 
 

Picha zote na Livingstone Mkoi

No comments:

Post a Comment