TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Saturday, March 30, 2013

HAPPY BITHDAY P FUNK MAJANI

 


Leo ni siku ya kuzaliwa mmoja wa watu walioufanya muziki wa bongoflava ufike hapa ulipo na kuutangaza nje ya mipaka ya Tanzania. Ni muandaaji wa muziki ambaye amevitoa vichwa vingi vikubwa unavyovifahamu katika ramani ya muziki nchini. Ni muasisi wa studio ya Bongo Records ambaye mpaka leo Beats zake zina ujazo wa kutosha kulinganisha na wengine. HAPPY BIRTHDAY Paul Matthysse "P-FUNK Majani".

Uko juu sana broyher mie HYPER HK ni mmoja kati ya watu ambao nilishawahi kufanya kazi na  p funk majani katika wimbo wangu wa birthday nilimshirikisha DULLY SYKES was a good song.

No comments:

Post a Comment