TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Saturday, December 15, 2012

MWANAMUZIKI WA FM ACADEMIA B 52 AMEFARIKI DUNIA LEO

 Jopo zima la fm academia usiku wa ijumaa tar 14 ikiwa kwenye stagekwenye tamasha la miaka 15 ya fm academia iliyofanyika msasani club,show hiyo iliudhuliwa na umati mkubwa sana wa watu.

Huyu ndio mwanamuziki wa fm academia aliefariki dunia leo tar 15 saa 10 jioni ambapo marehemu alikuwa anaumwa kwa muda mrefu sana mpaka umauti kumkuta leo jioni. kwa mujibu wa kiongozi wa band ya fm academia nyoshi elisadat "amesema marehemu atazikwa jumatatu saa 9 katika makaburi ya kinondoni". mungu ailaze roho ya marehemu B 52 mahala pema peponi amin.

No comments:

Post a Comment