TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, December 14, 2012

NYOKA WA AJABU ALIVYOUAWA NA KUWEKA REKODI 2012 DUNIANI!

 Nyoka wa ajabu akiwa amepakizwa kwenye gari la kubebea kontena baada ya kuuliwa na wanajeshi nchini Misri.
Nyoka wa ajabu akipambana na zana za kijeshi bila mafanikio.Hata hivyo baada ya vita hiyo kudumu kwa siku tatu usiku na mchana hatimae nyoka aliuliwa kwa kupigwa  bomu kichwani.Tukio la nyoka huyo limeelezwa kuwa ni tukio lililovunja rekodi ya mwaka 2012.
Na Mwandishi Wetu
Katikati ya mwaka huu dunia ilikubwa na mshtuko mkubwa kufuatia kuonekana kwa nyoka wa ajabu nchini Misri na kusababisha watu kukumbwa na hofu kuu.

Tukio hilo lilitokea nchini Misri kwenye bahari ijulikanayo kwa jina la Bahari Nyekundu ambapo nyuko huyo anadaiwa alikuwa anaishi ndani ya kina kirefu cha maji lakini siku moja alionekana mkia wake ndipo vyombo vya wanausalama vikaingia kazini kumsaka.

Hata hivyo haikuwa kazi rahisi kumkamata au kumua nyoka huyo kutokana na ukubwa wake ambapo mapambano makali yalitokea kati ya nyoka huyo askari jeshi waliokuwa na zana zote za kivita lakini palichimbika sana.

Vita hivyo iliendelea karibu siku tatu nzima usiku na mchana ambapo nyoka huyo aliweza kuharibu vifaru zaaidi ya ishirini vilivyokuwa vikapambana nae hadi walipotumia helkopta maalum ya kivita ambayo inadaiwa ilifanikiwa kumlipua kichwa bomu na kufa papo hapo.

Aidha baada ya kufanikiwa kumuua nyoka huyo wananchi wengi wa mji huo walikosa amani kwa imani kuwa nyoka huyo hakuwa peke yake lazima atakuwa na watoto wake pamoja na mumewe kwani alikuwa jike na balaa likawa namna ya kumbeba hadi kumpeleka uwanja wa mako makuu ya jeshi la inchi hiyo kutokana na ukubwa wake.

No comments:

Post a Comment