TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, December 28, 2012

DIAMOND AFUNGUA MWAKA NA USIKU WA WASAFI NEW MAISHA CLUB.

Mkali wa miondoko ya bongo fleva naseeb abdul a.k.a diamond platnumz tar 1 mwenzi wa kwanza atafanya show yakufa new maisha club ambapo atasindikizwa na dully sykes na ben paul.show hii kwa sasa ndio gumzo la jiji la dar es salaam kila mtu anasema lake juu wa kali wote hawa kwenye jukwaa moja.akiongea na x deejayz diamond platnumz amesema kwakawaida huwa hakosei anawaomba wapenzi wake wajitokeze kwa wingi new maisha club tar 1 mwaka mpya waje waone mambo mapya kutoka kwake. alijisifu kuwapa watu show mpya,nyimbo mpya na mambo mabo. kiiingilio ni buku 10 tu.

No comments:

Post a Comment