TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, November 29, 2012

UKIMWI MPYA WAIBUKA NCHINI HONG KONG,KUTUA NCHINI TANZANIA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA!


WANASAYANSI WASEMA BORA HATA UKIMWI WA ZAMANI ULIKUWA NA NAFUU KULIKO HUU,WAFANYABIASHARA WA KITANZANIA WAHOFIWA KUULETA NCHINI!
Inasemekana mgonjwa huchukuwa wiki moja kuonesha dalili,Mgonjwa huumwa na kukondeana kufa hafi!
Na Mwandishi Wetu kwa msaada wa mitandao

Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua kundi la Wanasayansi nchini Hong Kong limegundu ugonjwa mpya ambao unadaiwa kuwa kama ule wa ukimwi unatishia dunia lakini kwa huu ni hatari zaidi ya ukimwi wa kawaida.
Habari zilizothibitishwa na mtandao mmoja nchini humo kupitia taarifa ya jopo la wanasayansi walisema ugonjwa huu mpya ni ukimwi kabisa isipokuwa wenyewe unamuathiri mgonjwa haraka hadi kuugua na akishaanza kuumwa kufa hata kufa lakini mateso makubwa atayaona.
Aidha katika taarifa hiyo iliyothibitsha na Serikali ya nchi hiyo ilisema kuwa ugonjwa huo unatambulika kwa jina la Chyengiruys ambao husababishwa na virusi kama vya ukimwi na baadae mgonjwa huanza kusikia hamu ya kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara kumi kwa siku.

Aidha taarifa hiyo iliendelea kueleza kuwa kutokana na maumivu makali yanayotokana na ukiwmi huo mpya watu mbalimbali nchini humo ambao walianza kuugua toka mwaka 2005 walisema kuwa ni bora ukimwi wa zamani una nafuu sana kuliko huu mpya.


No comments:

Post a Comment