TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, May 31, 2012

CLUB MAISHA INAKULETEA VIONJO VIPYA KUANZIA MWEZI JUN





MAISHA CLUB KUZINDUA USIKU MAALUM
Maisha Club ya Dar es Salaam imeamua kuzindua usiku maalum ili kuweza kuwapa wateja vionjo mbali mbali.
Burudani hii itakayozinduliwa mwezi wa juni ni mwendelezo wa burudani ambayo hutolewa ndani ya ukumbi huu wa maraha.
Tarehe 7 Juni itazinduliwa usiku maalum wa FM Academia (Wazee wa Ngwasuma) ambapo atatafutwa mwanadada mwenye uwezo wa kulingwasimisha ndani ya maisha.
Alhamisi tarehe 8 juni itazinduliwa usiku wa Uzalendo plus na Twanga Pepeta ambapo kauli mbiu ni ‘tupende vya nyumbani’. Kutakuwa na burudani na vionjo mbali mbali kutoka makabila ya humu nchini. Uzinduzi utaanza na burudani toka katika kabila la Wahaya.
DJ Ommy
Mratibu





No comments:

Post a Comment