TANGAZO MAALUM
.
TANGAZA NA SISI
Tuesday, December 24, 2013
Chris Brown aingia kwenye headlines nzuri za Christmas.
Chris Brown sio mtu wa matukio mabaya tu wakati mwingine ana-make headlines na vitu vizuri.
Muimbaji wa wimbo wa “This Christmas” ametumia muda wake kuwapa watoto zawadi za Christmas ikiwemo toys na vitu vingine.
Kwa mara ya kwanza C brown amefanya annual holiday toy drive kwenye projects za Brooklyn ikiwa ni njia moja wapo ya kuwakumbuka watoto hasa kipindi hiki cha sikukuu.
“Thank you to all the fans who brought gifts for the kids today. Have a wonderful holiday. You’ve made a merry Christmas for a young child!” Chris Brown alisema hivyo akiwashukuru watu walioleta toys kuungana naye kuwapa zawadi watoto.
Monday, December 23, 2013
MSANII WA TIPTOP CONECTION AKAMATWA NA GUNIA AROBAINI ZA BANGI
Msanii anaejulikana kwa jina la deso hivi karibuni amekamatwa na gunia arobaini za bangi na mpaka sasa yupo mikononi mwa police katika kituo cha police kibaha na leo jumatatu anategemewa kufikishwa mahakani kujibu mashtaka hayo. akiongea na blog hii chanzo chetu cha habari kimesema mtuhumiwa alikutwa na vitu hivyo kwenye gari alipokuwa anajaribu kuzisafirisha kupeleka mkoani tanga
YALIOJILI KWENYE UZINDUZI WA NEW MAIHSA CLUB MOROGORO
Wakazi wa Morogoro Alhamis iliyopita wamepata sehemu mpya ya kukutana na kujumuika pamoja upande wa kucheza na kufurahi,hii ni New Maisha Club Morogoro ambayo rasmi imezinduliwa December 19,hizi ni baadhi ya picha za uzinduzi huo.
Picha kwa hisani ya MILLARDAYO.COM
WIKI YA HISIA ZA BURUDANI KWA MIKOA MITANO NDANI YA CLUB MAISHA 5 HII HAIJAWAHI TOKEA..!!!
Na Sakina Shabani
Wiki hii itakuwa ya kukumbukwa ndani ya mikoa mitano yani Club Maisha Dar, Dodoma, Morogoro, Mbeya na Ntwara.
Kikozi kazi cha Xdeejayz kinatarajia kufanya maajabu makubwa kwa kuwapatia burudani mashabiki wao.
Akiongea na Xdeejayz meneja burudani wa Club Maisha Hemed Kavu "HK" Alisema wiki hii na ijayo itakuwa ni ya kukumbukwa sana kwa mashabiki wa Disko kutokana na kikosi cha Xdeejayz kujipanga vya kutosha kuwasherehesha mashabiki hao.
"Kwa RATIBA YA BURDANI CLUB MAISHA ZOTE FUATILIA KWENYE GAZETI LA MASKANI BONGO JUMATANO HII"
Wiki hii itakuwa ya kukumbukwa ndani ya mikoa mitano yani Club Maisha Dar, Dodoma, Morogoro, Mbeya na Ntwara.
Kikozi kazi cha Xdeejayz kinatarajia kufanya maajabu makubwa kwa kuwapatia burudani mashabiki wao.
Akiongea na Xdeejayz meneja burudani wa Club Maisha Hemed Kavu "HK" Alisema wiki hii na ijayo itakuwa ni ya kukumbukwa sana kwa mashabiki wa Disko kutokana na kikosi cha Xdeejayz kujipanga vya kutosha kuwasherehesha mashabiki hao.
"Kwa RATIBA YA BURDANI CLUB MAISHA ZOTE FUATILIA KWENYE GAZETI LA MASKANI BONGO JUMATANO HII"
Subscribe to:
Posts (Atom)










.jpg)































