TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, March 20, 2015

PAMOJA RECORDS YASHUSHA VIFAA VIPYA VYA STUDIO, YATOA PUNGUZO KWA WASANII WACHANGA KUREKODI...!

Msanii na Prodyzuza nyota nchini Nas B amekarabati studio yake na kutoa punguzo kwa wanamuziki wachanga. Akiongea na vyombo vya habari mbalimbali Nas B ambae studio yake ipo Magomeni Mapipa alisema kuwa ameamua kuwainua wasanii wachanga ili nao waweze kufikia malengo na wasanii wote wachanga wakiwemo wa kwaya ambao wapo tayari wapige namba 0714-595432.

No comments:

Post a Comment