TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Saturday, March 21, 2015

MANAIKI SANGA SASA SIFA AWASHUSHA WANAMUZIKI AZONTO NA SHUMBA RATSHEGA KUSHIRIKI FILAMU YAKE MPYA






 Washiriki wa filamu mpya ya Manaiki Sanga iitwa Wake Up ambao ni mastaa wakiwa mbele ya camera
  Miss Temeke Irine Kanka ambae aliwahi kudaiwa kutoa mimba 2 za Manaiki huku picha hizi zikizusha balaa kubwa kiasi cha dada huyo kuachwa na mchumbaake
  Mrembo toka Kenya akiwa kwenye mahaba na Manaiki Sanga
  Madam Wema akiwa chini ya ulinzi wa Manaiki Sanga
 Picha zilizowahi kuleta utata kwenye jamii hapa Manaiki na Uwoya wakiwa kwenye mahaba mazito

 Mwanamuziki Azont akiwa na Msanii Manaiki Sanga

 Filamu ya kwanza ya msanii Maniki Sanga iitwayo NGEMA

Manaiki akiwa shabiki wake ambae ni mwanamuziki toka kundi la MKUBWA NA WANAE
 Manaiki Sanga akiwa na shabiki wake
 Kiongozi wa kundi la Makhirikhir la nchini Botswana Shumba Ratshega

Na Mwandishi Wetu Msanii wa bongo movie nchini Manaiki Sanga sasa ameanza kulewa sifa na kuwahenyesha mastaa wa bongo movie kufuaita kuwaleta mastaa mbalimbali toka nje ya nchi ili kuja kushiriki filamu yake nyingine baada ya ile ya Wake Up aliyowashirikisha mastaa zaidi ya Hamsini. Kwa mujibu wa Manaiki Sanga mwenyewe aliuambia mtandao huu kuwa wakati filamu yake ya ikiwa bado ipo hatua za mwisho kuachia sokoni baada ya kufikia makubaliano na kampuni ya usambazaji ya Steps sasa anaingia tena msituni kurekodi filamu nyingine. Manaiki Sanga aliendelea kusema kuwa filamu hiyo ambayo itachezwa na wanamuziki kama Azonto toka nchini Uingereza na kiongozi wa kundi la Makhirikhiri toka nchini Botswana na mwanamuziki toka nchini Kenya Jaquar na hapa nchini watachukuliwa msanii Jakob Steven, Wema Sepetu, King Majuto, Lulu Michael, Zigamba na Mzee Majuto. Manaiki ambae amewahi kuitisa dunia kwa picha zake za aibu kwa wanawake zaidi ya 800 aliotembea nao tena bila kondom wakiwemo mastaa wakubwa wa bongo movie pamoja na mtoto wa familia ya Rais wa Zanzibar.
MANAIKI SANGA AZIDI KULEWA SIFA AWASHUSHA WANAMUZIKI AZONTO NA SHUMBA RATSHEGA KUSHIRIKI FILAMU YAKE MPYA Posted by maskani bongo at 12:17 AM MSANII MANAIKI SANGA AKIWA SHABIKI WAKE KIONGOZI WA KUNDI LA MAKHIRIKHIRI TOKA NCHINI BOTSWANA SHUMBA RATSHEGA AKIWA NA MSEMAJI WAKE HAPA NCHINI TANZANIA BW LIVINGSTONE MKOI. MANAIKI AKIWA KAZINI KWENYE MOJA YA MOVIE ZAKE MSANII MANAIKI SANGA AKIWA NA MWANAMUZIKI TOKA GHANA NAEISHI NCHINI UINGEREZA. FILAMU YA KWANZA MANAIKI SANGA IITWAYO NGEMA ILIYOWAHI KUMPA UMAARUFU MKUBWA NCHINI MSANII MANAIKI SANGA AKIWA NA MASTAA WENZAKE MSANII MANAIKI SANGA AKIREKODI FILAMU YAKE MPYA IITWAYO WAKE UP AMBAYO BADO HAIJATOKA MSANII MANAIKI SANGA AKIWA NA IRENE UWOYA FILAMU YA NGEMA JINSI ILIVYOSHENI MASTAA MBALIMBALI WASANII WALIOREKODI FILAMU YA NGEMA HEMED NA IRENE UWOYA MSANII MANAIKI AKIWA NA SHABIKI WAKE AMBAE NI MWANAMUZIKI TOKA KUNDI LA MKUBWA NA WANAE MASTAA WA KIKE BONGO MOVIE AMBAO WAMEONESHANA KAZI KAZ KWENYE FILAMU YA NGEMA Na Mwandishi Wetu Msanii wa bongo movie nchini Manaiki Sanga sasa ameanza kulewa sifa na kuwahenyesha mastaa wa bongo movie kufuaita kuwaleta mastaa mbalimbali toka nje ya nchi ili kuja kushiriki filamu yake nyingine baada ya ile ya Wake Up aliyowashirikisha mastaa zaidi ya Hamsini. Kwa mujibu wa Manaiki Sanga mwenyewe aliuambia mtandao huu kuwa wakati filamu yake ya ikiwa bado ipo hatua za mwisho kuachia sokoni baada ya kufikia makubaliano na kampuni ya usambazaji ya Steps sasa anaingia tena msituni kurekodi filamu nyingine. Manaiki Sanga aliendelea kusema kuwa filamu hiyo ambayo itachezwa na wanamuziki kama Azonto toka nchini Uingereza na kiongozi wa kundi la Makhirikhiri toka nchini Botswana na mwanamuziki toka nchini Kenya Jaquar na hapa nchini watachukuliwa msanii Jakob Steven, Wema Sepetu, King Majuto, Lulu Michael, Zigamba na Mzee Majuto. Manaiki ambae amewahi kuitisa dunia kwa picha zake za aibu kwa wanawake zaidi ya 800 aliotembea nao tena bila kondom wakiwemo mastaa wakubwa wa bongo movie pamoja na mtoto wa familia ya Rais wa Zanzibar. Copy and WIN : http://ow.ly/KfYkt Copy and WIN : http://ow.ly/KfYkt

Copy and WIN : http://ow.ly/KfYkt

No comments:

Post a Comment