TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, May 15, 2014

MAZOEZI YA MISS DAR CITY CENTER NDANI YA CLUB MAISHA NI BALAA ANGALIA WATOTO WAZURI HAIJAWAHITOKEA PICHA HIZI HAPA..!


 Hawa ni baadhi yao tu Miss Dar City Center 2014 wanaofanya mazoezi yao kwenye kiota cha burudani Bongo...




 Hapa kazi kazi ni warembo hao wakifanya mazoezi makali ili kuleta burudani ya ukweli siku ya shindano.

Shindano la kumtafuta Miss Dar City Center 2014 litafanyika katikati ya mwezi ujao na tayari zaizi ya warembo 30 wameweka kambi ndani ya Club Maisha Dar huku wakiwa kwenye mazoezi makali.

No comments:

Post a Comment