TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, December 11, 2013

HUYU NDIYE MGANGA WA KIENYEJI ALIYEFUMANIWA NA MKE WA MTU GUEST , AJITETEA KUWA MIZIMU ILIMTUMA KUFANYA HIVYO ILI MTEJA WAKE APONE!


Mganga wa Kienyeji kushoto  aliyefahamika kwa jina la Dokta Mohamed Simba  “King Lion” akilazimishwa kumshika mkono begani mke wa mtu aitwae
Shamila Hawazi Mponda mara baada ya kufumaniwa
 Wananchi mbalimbali wakiwa nje ya Guest ya Best iliyopo Ubungo Maziwa wakishuhudia fumanizi hilo...!!!


Watuhumiwa wakipakizwa kwenye Deffender ya Polisi  kuelekea kituo cha Polisi Magomeni.
Na Shumba Msitu wa Xdeejayz.
Mganga mmoja maarufu wa kienyeji hivi karibuni alifumaniwa na mke wa mtu  Guest maeneo ya Ubungo Maziwa pamoja na kuambulia kichapo cha aina yake.
Tukio hilo la aina yake pia lilishuhudiwa na mamia ya wananchi maeno hayo huku mapaparazi Xdeejayz wakichukua picha za kutosha ili..............HABARI ZAIDI NDANI GAZETI LA MASKANI BONGO.
******************************************
TAREHE 19/12/2013 MJI WA MOROGORO KUKUMBWA NA TUKIO LA KIHISTORIA...!!!

No comments:

Post a Comment