TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, October 15, 2013

SIRI YAFICHUKA KUMBE VIUNGO BANDIA VYA BINADAMU VILIVYOKAMATWA NCHINI KENYA VILIKUWA VINAKUJA TANZANIA!



Hatimaye mmiliki wa kasha la mizigo lililonaswa katika bandari ya mombasa likiwa na sanamu za vibwengo vya kutisha, amejulikana
Kwa mujibu wa taarifa rasmi, kampuni ya 'Market Masters' wanaomiliki maduka ya Village Market hapa Nairobi wamekiri kuagiza shehena hiyo kwa sherehe zao za kila mwaka. Wakati huo huo, mwanasiasa Omingo Magara amekanusha kuagiza shehena hiyo na akaitaka halmashauri ya ushuru nchini KRA kumuomba msamaha mara moja.
Aidha katika habari nyingine zilizotua mezani kwa Xdeejayz zilidai huenda pia sanamu hizo nyingine zingekuja nchini Tanzania.

 

No comments:

Post a Comment