TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, September 23, 2013

MAMA WA KIZUNGU AELEZA ALIVYOKUSHUHUDIA MWANAE AKIPIGWA RISASI YA SHINGO NA MAGAIDI, MAKOMANDOO WA ISRAEL NA MAREKANI WATUO KUMALIZA UBISHI!




Mwanamke aliyekuwa amejeruhiwa akiomba msaada
September 21, ni tarehe ambayo Kenya haitoisahau kamwe. Ni baada ya kundi la wanamgambo wa Al-Shabab lilipoishambulia mall ya Westgate maarufu kwa kuwa na wateja matajiri jijini Nairobi na kuwashikilia watu mateka, kuwaua na kuwajeruhi wengine.

   Familia ikiwa imeshikana mikono wakati ikitoka nje ya eneo la hatari Familia ikiwa imeshikana mikono wakati ikitoka nje ya eneo la hatari
  article-2427892-182485E800000578-152_964x631 130921145130-25-kenya-mall-restricted-horizontal-gallery 130921103725-07-kenya-mall-horizontal-gallery Mashuhuda wanasema watu hao waliokuwa na silaha, wakiwa na nguo nyeusi na vichwa vyao vikifunikwa na vilemba waliingia kwenye mall hiyo ya Westgate jana mchana. Mpaka sasa, idadi ya watu walioshikiliwa mateka ndani ya mall hiyo haijajulikana. Mama na wanae akiwa amejificha kuhofia kuuawa na watu hao makatili Mama na wanae akiwa amejificha kuhofia kuuawa na watu hao makatili Mfanyakazi wa Red Cross akimbeba mtoto aliyekuwa ndani ya mall hiyo Mfanyakazi wa Red Cross akimbeba mtoto aliyekuwa ndani ya mall hiyo Mtoto akikimbia kuokoa maisha yake Mtoto akikimbia kuokoa maisha yake
Mtoto akiwa nje baada ya kutolewa ndani ya mall, pembeni ni mwili wa mtu aliyeuawa
Mtoto akiwa nje baada ya kutolewa ndani ya mall, pembeni ni mwili wa mtu aliyeuawa
Zaidi ya watu 40 wameripotiwa kuuawa na zaidi ya 162 wakijeruhiwa. Mtu na mpenzi wake waliouwa kwa pamoja na wanamgambo hao Mtu na mpenzi wake waliouwa kwa pamoja na wanamgambo hao Mwanamke akilia kwa woga baada ya kuokolewa na askari Mwanamke akilia kwa woga baada ya kuokolewa na askari Mwanamke aliyejeruhiwa akitolewa nje kwa kubebwa kwenye toroli la kufanyia shopping Mwanamke aliyejeruhiwa akitolewa nje kwa kubebwa kwenye toroli la kufanyia shopping Mwanamke aliyekuwa ameshikiliwa mateka akiwa haamini baada ya kuachiwa Mwanamke aliyekuwa ameshikiliwa mateka akiwa haamini baada ya kuachiwa Ofisa wa usalama na wenzake wakielekezana na wenzake mahali walipo watu hao wenye silaha Ofisa wa usalama na wenzake wakielekezana na wenzake mahali walipo watu hao wenye silaha Polisi akisaidia kumtoa mtoto aliyekuwa ndani ya mall Polisi akisaidia kumtoa mtoto aliyekuwa ndani ya mall Polisi na wanajeshi wakipambana na magaidi hao Polisi na wanajeshi wakipambana na magaidi hao Mashuhuda wengine wamedai kuwa wanamgambo hao waliwaambia waislamu waondoke na wabaki waumini wa dini zingine. “Walisema na kusema: ‘Kama wewe ni muislamu, simama. Tumekuja kuwaokoa,” Elijah Lamau aliiambia BBC. Alisema waislamu waliondoka wakiwa wamenyoosha mikono juu na kisha watu hao wakawapiga risasi watu wawili. Polisi wa Kenya akiwa ameshika tumbo lake baada ya kujeruhiwa huku mwenzake akiendelea kurushiana risasi na magaidi wa Al-Shabab Polisi wa Kenya akiwa ameshika tumbo lake baada ya kujeruhiwa huku mwenzake akiendelea kurushiana risasi na magaidi wa Al-Shabab Polisi wakiingia ndani ya mall hiyo kupambana na wana mgambo wa Al-Shabab Polisi wakiingia ndani ya mall hiyo kupambana na wana mgambo wa Al-Shabab Polisi wakipambana na Al-shabab Polisi wakipambana na Al-Shabab Rais wa Canada Annemarie Desloges, 29, aliuawa kwa risasi na magaidi hao Raia wa Canada Annemarie Desloges, 29, aliuawa kwa risasi na magaidi hao Wanajeshi walimwaga kwenda kusaidia kupambana na watekaji wa kundi la kigaida la Al-shabab Wanajeshi walimwaga kwenda kusaidia kupambana na watekaji wa kundi la kigaida la Al-Shabab Wananchi wa mataifa mbalimbali waliokuwa wakifanya shopping kwenye mall hiyo wakiwambia kuinua mikono yao kuonesha hawana silaha Wananchi wa mataifa mbalimbali waliokuwa wakifanya shopping kwenye mall hiyo wakiwambia kuinua mikono yao kuonesha hawana silaha Gaidi mmoja alikamatwa jana na kufa kutokana na majeraha. Maafisa wa Kenya wameimbia BBC kuwa wengine wanne

No comments:

Post a Comment