TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, July 4, 2013

UJIO MPYA WA NUH MZIWANDA WAWAKUMZO KWENYE SOCIAL NETWORK

Yule kijana mtanashati moja kati ya wasanii wa kizazi kipya mahandsome boy wanaojua kuringa kwa kucheza kwenye stage huyu hapa NUH MZIWANDA lep nakuletea habari ya ujio wake mpya ambao tayari umeshakuwa gumzo kwenye ma BBM,INSTRAGRAM,WATSUP NA FACEBOOK,hivi karibuni ataachia ngoma yake mpya ambayo iko jikoni kwa messen. pia kijana huyu ni mtundu wa kutengeneza mabiti  kwa mkono wake mwenyewe na bit ya wimbowake huu amefanya mwenyewe.ila voco na mixing amefanya mesen selecta. pia katika wimbo wake huo atatambulisha style yake ya CHACHALUNDOA. Amewataka mashabikiwake wakae mkao wa kula ngoma yake mpya inayokuja itakakwenda kwa jina la ''OTEA NANI'' aahahahah kwani we unadhani ni nani? ahahah subiria usikieeeeee!!!!!!!!!! kama vipi jipangeeee.

No comments:

Post a Comment