TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, May 20, 2013

NEY WAMITEGO NA DIAMOND WAFUNIKANA MBAYA KWENYE UZINDUZI WA VIDEO YA MUZIKI GANI













Ney wa Mitego akiwarusha wapenzi wa burudani.

Nyomi iliyoitikia shoo hiyo.


Diamond na Ney wakiwapagawisha mashabiki.

Ney wa Mitego akisema na wapenzi wake.

Diamond Platnumz akionyesha umahiri wake stejini.


Diamond akifanya makamuzi sambamba na kundi lake.

Ney wa Mitego akilishambulia jukwaa la Dar Live.

Mashabiki wakiburudika wakati wa shoo hiyo ndani ya Dar Live.

Diamond na kundi lake katika pozi kabla ya makamuzi.

DAR Live usiku wa kuamkia leo ilitikisika baada ya mashabiki kujitokeza kwa wingi kushuhudia onyesho la pamoja kati ya wanamuziki wawili nyota wa kizazi kipya, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' na Ney wa Mitego ambao walikuwa wakizindua video ya wimbo wao wa 'Muziki Gani'.
Wanamuziki hao kwa pamoja walitoa burudani ya nguvu ambayo ilizikonga nyoyo za mashabiki waliofurika katika ukumbi huo wa maraha uliopo Mbagala Zakhem, jijini Dar.
PICHA ZOTE NA  http://audifacejackson.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment