TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Sunday, May 5, 2013

MBUNGE WA ARUSHA MH GODBLESS LEMA ATEMBELEA KANISA LILILORIPULIWA HUKO ARUSHA.....SOMA ALICHOKISEMA HAPA

hili ndio kanisa lililolipuliwa na bomu leo asubuhi
 
 

Godbless  Lema ambaye  ni  mbunge  wa  arusha  ametembelea  eneo  la  kanisa  lililolipuliwa  na  kuwafariji  wahanga  wa  tukio  hilo.....
 Akiongea  kwa  jazba  na  hasira  na  wanachi  waliopo  eneo  la  tukio,Lema  ameitumu  serikali  kwa  mara  nyingine  na  kudai  kuwa  uzembe  wa  viongozi  ndo  chanzo  cha  matukio  kama  haya....
Hotuba  fupi  na  nasaha  zake  zilikuwa  zikisikika  moja  kwa  moja  kupitia  Radio  maria   kabla ya  kituo  hicho  kuamua  kukatisha  nasaha  zake.....
Haijafahamika  mara  moja  sababu  za  kukatishwa  kwa  hotuba  yake ...

Bado tunasubiri  taarifa  rasmi  ya  vyombo  vya  ulinzi  na  usalama  kuhusiana  na  tukio  hili

No comments:

Post a Comment