TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, May 10, 2013

BAADA YA KUJITOA KATIKA KUNDI LA PAH ONE AIKA NAH REAL NA WEESTAR WAJA NA KUNDI JIPYA


 
Kama unakumbuka vizuri mwaka jana kundi jipya lilokuwa linakuja vizuri kwenye game ,Pah one, lilisambaratika na wengine kujitoa kwa sababu ya kutokuelewana katika kundi, kisa kikiwa ni uhusiano wa kimapenzi kati ya Nahreel na Aika ambapo yeye "Aika" alikanusha kuwa sababu ya kundi hilo kuvunjika, sasa wameamua kuja na kundi lao jipya likiwa na Nahreel, Aika na Weester, ambalo hawajasema litakuwa linaitwa nini,na tayari wako mbioni kuachia single yao ya kwanza kama kundi jipya ikiwa inajina "Hold Me Back"

No comments:

Post a Comment