TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, January 30, 2013

WAHESHIMIWA WABUNGE,TRIPLE BASH KUACHA HISITORIA NDANI YA MAISHA CLUB DODOMA IJUMAA HII!

HEMED KAVU (HK) A.K.A HYPERMAN

Na Livingstone Mkoi

Wakazi wa mji wa Dodoma na vitongoji vyake Ijumaa ya wiki hii wanatarajia kupata kushuhidia shoo ya kijanja itakayofanyika ndani ya Maisha Club, huku waheshimiwa wabunge mbalimbali wakitarajia kuhudhuria shoo hiyo.

Akiongea na Xdeejayz kwa njia ya simu toka Dodoma mratibu wa shoo hiyo toka kamapuni inayoongoza kuambukiza virusi vya burudani tanzania ya Entertainment Masters Ltd Hemed Kavu a.k.a Hyperman alisema"Tuna malizia mzunguko huu wa Triple Basha kwa mfumo wa ONE DJ ONE SHOW THREE VENUES kwa Maisha Club ya Dodoma baada ya shoo kama hizi kufanyika kwenye Club zetu za Mtwara na Dar es Salaam" Alisema HK

Aidha mratibu huyo aliendelea kusema kuwa maandalizi yote yamekamilika ambapo timu ya maangamizi kwa ajili ya kutoa burudani imeshaingia Mkoani humo ikitokea Dar na cha kuvutia kwenye shoo hiyo ambacho ni kama "surprise" kwa mashabiki ni uzinduzi wa mashine mpya ainanya Pioneer" Alisema maratibu huyo

Hata hivyo kivutio pekee kwenye shoo hiyo ni Dj nyota Afrika Mashariki  ambae ni kipenzi cha watu wengi Dj Majay a.k.a Majizo 4 Jizo anatarajia kuwahenyesha mashabiki hao kwa upigani wa mfumo wa DVJ mtindo ambayo Club Maisha uliunzasha nchini na baadae kuigwa sehemu mbalimbali.

HK alimaiza kusema kuwa pia wanatarajia kuwaalika Waheshimwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iki kuja kupoza akili zao kwa burudani hiyo kwani tarayi itakuwa mwisho wa Juma siku ambayo watakuwa mapunziko.

No comments:

Post a Comment