TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, January 31, 2013

NYIMBO ZA MWANAMUZIKI MANAIKI SANGA KUMPATIA MAMILIONI YA SHILINGI!

 Mwanamuziki nyota wa bongo flava nchini Manaiki Sanga
Manaiki Sanga.
Na Livingstone Mkoi
Nyimbo za mwanamuziki nyota wa muziki wa kizazi kipy nchini Manaiki Sanga zimeinginzwa kwenye mtandao kwa ajili mashabiki kupta fulsa ya kuzisikiliza kupita simu zao za viganjani.
Akiongea na Xdeejayz Manaiki ambae mwaka jana alitamba sana na nyimbo zake kali kama Nina fanya mambo na nyinginezo na kufanikiwa kusimama kwenye top ten mbalimbali za kwenye redio na tv.

Manaiki alizitaja nyimbo alizoziingiza kwenye mtandao na namna ya mashabiki wake watakavyoweza kuzipata ambao:CODE ya wimbo na Nafanya Mambo ni 21849. Na CODE  ya wimbo Twende Sawa ni 21809. nyimbo zote hizo unatumakwenda namba 15007.

Maelekezo mengine ni unaenda sehemu ya kuandikia sms na kuandika unachagua wimbo unaoutaka kwa namba iliyoelekezwa hapo juu kisha unatuma kwenda namba 15007.

Aidha mwanamuziki huyo aliongeza kusema wimbo wa nafanya mambo ambao aliwashirikisha mastaa kibao kama vile Maunda Zoro,Mr Blue, Godzila nk anampango wa kuutengenezea filamu na tayari ameshawaita mastaa kibao wa filamu nchini akiwemo Mzee Magali ili kujipanga.

No comments:

Post a Comment