TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, January 31, 2013

MBWANA MATUMLA ANAOGOPA KUPAMBANA NA MIMI TENA:FRANCIS MIYEYUSHO

Bingwa wa Dunia WBF,UBO Mtanzania Friancis Miyeyusho

Na Livingstone Mkoi
Bingwa wa mabara wa dunia nchini Francis Miyeyosho ameibuka na madai kuwa bondia Mbwana Matumla anamuhofia kupigana nae kwa vile kiwango chake kwa sasa kimeshuka sana.
Akiongea na Xdeejayz ndani ya gym yake iliyopo Kinondoni Mkwajuni Miyeyusho alisema kuwa kwa sasa nchini hana mpinzani kwa vile kesha wapiga mabondia wote hivyo anasubiri pambano lake  na bondia toka Ufilipino ambalo litafanyika hapa nchini mwanzoni mwa mwezi wa tano.

Miyeyusho ambae hivi karibuni alimtwanga kwa KO bondia Nassibu Ramadhani  na kufanikiwa kutwaa ubingwa wa WBF na kufanikiwa kumiliki mikanda miwili baada ya ule wa UBO ambao aliuchukuwa kwa Mbwana Matumala baada ya kumuadhibu kwa kipigo kikali.

No comments:

Post a Comment