TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, September 27, 2012

BAADA YA DAR, DODOMA NA SASA NI ZAMU YA MOROGORO NA TRIPLE BASH YA XTREME DEEJAYZ

Wale madeejay wakali wanatikisha jiji la dar es salama wa XTREME DEEJAYZ jumamosi hii watakuwa katika club ya ukweli morogoro ya club forstars kwa ajili ya kutoa burudani kwa wakazi wa morogoro.ni ngoma mwanzo mwisho hakuna show ya msanii ni disco tu la dvj. zitapigwa nyimbo za video tu mwanzio mwisho na dvj majay na hyperman hk.kiingilio ni buku 6 tu hii sio yakukosa kabisaa,

No comments:

Post a Comment