TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Sunday, September 13, 2015

KUFURU KUBWA: OMMY DIMPOZ ATEKETEZA MAMILIONI KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA. ONA PICHA ZA MASTAA WALIOHUDHURIA...!


.
.
Sherehe za birthday nazo zina uzito wake, Unaambiwa msanii Omary Nyembo aka Ommy Dimpoz ambaye usiku wa Sept 13,2015 alishea siku yake ya kuzaliwa na watu mbalimbali wakiwemo mastaa wengi kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva, kiukweli ilipendeza sanae.
Unaweza kucheki pichaz ambazo mtu wako wa nguvu nimekusogezea uzicheki na usipitwe pia.
.
.
.
.
.
.
.
Pichani:Mwanasheria Alberto Msando akiwa na mwigizaji Elizabeth Michael
.
.
.
.
.
.
.
Kushoto, Elizabeth Michael, Ommy Dimpoz na Idris Sultan
.
.
.
.
.
.
.
Ommy Dimpoz akimlisha keki Hamza kutoka Tigo kwenye idara ya muziki
.
.
.
.
.
Ommy Dimpoz akimlisha keki meneja wake, Mubenga
.
Ommy Dimpoz akimlisha keki mwanasheria, Alberto Msando.
DSC_0117
.
Ommy Dimpoz akilishwa keki na Ambwene Yessaya aka A.Y
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Pichani:kulia Mtu wa nguvu akiwa na timu ya Clouds FM (Shadee, Bdozen na Perfect Crispin

No comments:

Post a Comment