TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, March 23, 2015

NAS B AZUSHA BALAA JIJINI DAR WANAMUZIKI WAMFANYIA FUJO STUDIO KWAKE, AZIDI KUPUNGUZA GHARAMA ZA KUREKODI...!

Studio mpya ya PAMOJA RECORD kama inavyoonekana baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa studio hii inapatikana Magomeni Mapipa...!

 
  Prodyuza na Mwanamuziki Nas B akiwa pamoja na mwanamuziki Smat Boy

Na Mwandishi Wetu
Prodyuza na mwanamuziki mwenye kipaji Nas B amezusha balaa kubwa studio kwake baada ya kutangaza kuwasaidia wasanii wachanga kurekodi kwa gharama nafuu, hata hivyo hatua hiyo imezusha balaa kubwa kufuatia mamia ya wanamuziki kuanza kumiminika wakihitaji kutumia fursa hiyo kufanikisha malengo yao.
Akiongea na mtanda huu Nas B alisema' Imekuwa shida sana tangu tutangaze kuwepo kwa punguzo la beo kwa wanamuziki hatimae wanamuziki wamekuwa wakimiminika balaa na hali hiyo inanifanya kukesha usiku mzima ili kuwafanyia kazi zao" Alisema Nas B anaetamba na kibao chake cha Mademu wa Wasanii
Aidha Nas B aliongeza kusema kuwa anatoa uwito kwa wanamuziki kuendelea kutumia nafasi hii kufika studio kwake kwa ajir ya kurekodi na ofa hii itaisha mwezi wa nne na hatua hiyo ilikuja baada ya prodyuza huyo kutengeneza studio zake na kuwa za kisasa na ametumia gharama zaidi ya milioni 50 kukamlisha vifaa vyote.
Wanamuziki wa injili, bongo flava, nyimbo za asili wote mnakaribishwa na waliotayari wampigie kutumia namba 0714-595432 watampata moja kwa moja. " PAMOJA RECORDS INAKUPA NAFASI YA KUTIMIZA NDOTO ZAKO"

No comments:

Post a Comment