TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, June 30, 2014

HAKUNA STAA AMBAE HAJAWAHI KUKANYAGA KWA DOKTA KAMDEGE- JINI KABULA ASEMA..!

staa wa filamu za kibongo nchini Miliamu Jorwa Jini Kabula amesema ameibuka na kusema haamini kama kuna staa yeyote nchini ambae amefanikiwa kimaisha bila kupitia kwa Dokta Kamdege kupta baraka zake.

Akiongea na gazeti hili Miliamu Jorwa alisema kuwa" Mganga wa mstaa nchini amewasaidia nikiwemo mimi mwenyewe na kama kuna mtu akisema hajawahi kukanyaga kwake huyo muongo na mnafiki kabisa" Aliasema Jini Kabura

Aidha msanii huyo anasema mganga huyo anaetibu kupitia miti shamba alimsaidia sana wakati anaanza kupata jina kwani kulikuwa na ushindani mkubwa sana wa kupata majina na mafanikio bila nguvu zake za ziada basi hali ingekuwa mbaya hadi leo.

Mganga huyo ambae anatibu maelfu ya watu kutumia miti shamba huku akiwawezesha wengi kuwa na mafanikio kupitia sanaa, kazi, biashara nk na tayari hata raia toka nchi za nje wamekuwa wakitua nchini na kumfuata huko aliko.

Hata hivyo kwa sasa mganga huyo yupo Jijini Dar na watu wafanyabishara wengi wamekuwa wakimiminika Kiwalani alikofikia kwa ajili kuwasawazishiwa mambo yao na ameendelea kutoa uwito kwa wakazi wa Jiji la Dar kuendelea kufika kwake kwani hana siku nyingi ataondoka kuelekea Uturuki alikoitwa na Serikali ya huko.

Mganga huyo anatibu magonjwa mengi tu pamoja kumsafisha mtu kupanda cheo, kuolewa, kufanikiwa kibiashara na mambo mengine na anatibu kutumia miti shamba na hata kama uko nje ya nchi atakusaidia ukiwa huko huko na ametaja namba yake ya simu kwa watakaopenda kumtafuta 0788-844490 na moja kwa moja ataongea nae.

No comments:

Post a Comment