TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, May 23, 2014

NAY WA MITEGO NA MCHUMBAAKE WAGAWANA KILA KI2 HADI VIJIKO SASA HIVI KILA M2 KIMPANGE MANAIKI AHUSIKA KUVUNJA UCHUMBA WAO..!


picccMiongoni mwa mabalozi wapya kutoka mtandao wa Airtel ni pamoja na Ney wa mitego,stori ambayo imemfikia Soudy Brown ni kwamba mpenzi wake ametaka kugawana vitu na Ney wa Mitego ambavyo amevipata wakiwa pamoja,maongezi ya Ney wa Mitego alipoulizwa na Soudy Brown juu ya tuhuma hizi kama ni za kweli hiki Nay hakuweka bayana ingawa kuna taarifa toka kwa watu wao wa karibu kuwa msanii Manaiki Sanga the don anahusika na kuvunjika kwa uchumba huo.

No comments:

Post a Comment