TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, April 14, 2014

MASKANI ROSE MUHANDO ROHO YAKE NI DEAL MASHABIKI WATAKA JESHI LA POLISI LIMPA ULINZI..!

Mwanamuziki wa Injili daraja la kwanza nchini, Rose Muhando.
Stori: Erick Evarist
MY GOD! Mwanamuziki wa Injili daraja la kwanza nchini, Rose Muhando anaishi roho mkononi kufuatia madai kwamba kuna watu wanaomsaka wakisemekana wametumwa kuichukua roho yake, Ijumaa Wikienda lina kisa kizima.

Kwa mujibu wa chanzo makini, Rose anaishi kwa machale jijini Dar akikimbia Dodoma baada ya taarifa kwamba mtu mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Nasani na wenzake wanataka kumdhuru kama si kumtoa roho kabisa.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, Alex Msama aliyepata ajali inayohusishwa na watu wenye nia ya kutaka kumteka Rose Mhando.

“Hao watu si wazuri! Mara kwa mara wamekuwa wakiandaa mikakati ya kumfanyia kitu kibaya Rose.
“Mfano mzuri ni Aprili 3 na 4, mwaka huu, watu hao waliweka mtego wa kumteka Rose kwenye hoteli moja jijini Dar es Salaam, wakashindwa kutokana na mazingira,” kilisema chanzo hicho.

Alex Msama akiwa amelazwa mara baada ya kupata ajali.

No comments:

Post a Comment