TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Sunday, February 23, 2014

MSICHANA WA KITANZANIA AISHIE INDONESIA APIGA PICHA ZA UTATA NA KUZIMWAGA MTANDAONI..!

Na Mwandishi Wetu
Msichana mmoja ambae inadaiwa ni mtanzania aishie nchini Indonesia wiki iliyopita alirusha hewani picha zake za mitego kiasi cha kuzusha minong'ono kwente jamii yaq kitanzania inayoiishi nchini humo.
Kwa mujibu wamtandao mmoja wa mtanzania aishie nchini humo aliyefahamika kwa jina la Zabron Michael ulisema kuwa msichana huyo ambae inahisiwa kama ni mtoto wa kigogo flani lakini yeye ni Daktari anaefanya kazi zake binafsi nchini humo na alitajwa kwa jina moja la Happynes.
"GAZETI LA MASKANI BONGO LIKO MTAANI JUMATANI HII USIKOSE NAKALA YAKO"

No comments:

Post a Comment