TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, November 8, 2013

SHILOLE APATIKANA ASHINDWA KUANDIKA KIINGEREZA RAHISI AMBACHO HATA MTOTO WA NURSERY SCHOOL HAWEZI KUANDIKA MADUDU KAMA YAKE, MASHABIKI WAKE WAMSHAURI AKASOME ENGLISH COURSE!

 TAMASHA LA AMANI NA UPENDO NI TAREHE 8 DESEMBA 2013 KATIKA VIWABJA VYA USTAWI WA JAMII!

Shilole aliamua kutandika yai kwenye Instagram, ili kuzipa uzito shukrani zake za dhati kwa muongozaji wa video yake ya ‘Nakomaa na Jiji’ itakayotoka Jumamosi hii, Nisher.

Bahati mbaya, yai lake lilivunjika mapema wakati lilipokuwa likiufikisha ujumbe huo na kuwafanya watu waligeuzie mjadala.
Kama tumekuacha kwa lugha hiyo, ni kwamba Shilole aliandika Kiingereza kilichokosewa sarufi aka Broken English.

Shilole aliandika: I did ever think I would do a nice video like this thank you alot to my director @nisherbybee.

Baada ya hapo, haya ndio yaliyosemwa:
    [ @ ] nicrac1914 Lugha za majahazi!! Ongea Kiswahili tu utaeleweka vzr

    [ @ ] lisammbando Speaking English is not a joke Hahahahah 

    [ @ ] clararobinso Me cjaelewa hiyo lugha mpz, kwan ulitaka kuandika nn hapo?

    [ @ ] pinnadelicious Jmn mbona mnapenda kumcritisize hvo mwenzenu sa amekosea nn nyie mnaojua, duh dis is too much 

    [ @ ] teddybebe Jaman all in all si mmemuelewa.hata mbuyu ulianza kama mchicha kila kitu kinaitaji mazoezi na usione aibu hata wakikucheka mpenz jitahid tu utaelewa. @shilolekiuno 

    [ @ ] teddybebe Kumbukeni hata nyie mlitoka huko hata kama mlisoma za kishuaa. Vizur kumsahihisha na sio kumbeza  4h

[ @ ] m_bongo her message sent, delivered, read and understood hicks. By the way english isn't her first language.

    [ @ ] tutupahamidu Did or didnt?!!thank you or thanks to my director?!

    [ @ ] raqey_unique Yeah her English is not gud but a bet u all understood wat she meant so stop hating

      [ @ ] pinnadelicious Kiswahili every one anajua so mdada wawatu anajitahidi awe internationally so km tumeelewa wat she mean mbona hakuna tatizo, sema bongo tumemeza!!!!

    [ @ ] eshyleta bora washushuliwe tu, coz baadae wanaleta nyodo za kiswanglish, et kiswahili hawezi baadhi ya maneno, km huwezi kithungu tumia lugha yako ya taifa

    [ @ ] makavlive @shilolekiuno mwisho wa ujuaji ni aibu...ona sasa, ungeandika kiswahili isingekua shida, kutaka ung'eng'ee shule yenye hujaenda...acha kuiga paka la baa wee ongea kinyamwezi unachokijua!

    [ @ ] auma_bebe we al knw dat english iz not our mothertongue n tz nxma mnaijua histry yke shilole ss y mnamponda hvyo bdala hta ya kumrekebisha? sio fair bna..

No comments:

Post a Comment