TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Friday, September 6, 2013

SNURA AINGIA KWA BWEBWE ZANZIBAR APOKELEWA NA BENBATI

 

 Snura aingia zanzibar ijumaa ya leo kwa ajili ya show moja kali sana katika ukumbi wa mess amepokelewa na ben bati kama kuna harusi kumbe show usicheze mbali na blog hii hili kupata matukio yatakayojiri usiku a leo katika show kali ya mwanadada snura majanga.

 Kwenye boti mambo ya instragram yalihusika poa sana



 Huyu ndio mwenyeji wetu kutoka chuchu radio zanzibar
 usichezaa faidha na farida

 Muda wa misosi ukafika
 Wahudumuwa hotel tuliyofikia nao hawakuwa mbali
 wazee wa benbati wakipata picha na madansa wa snura
 Mapacha wakiwa na mdogo wake SNURA mkazi wa zanzibar mama NAA
 Hammer Q tunashere nae stage moja leo katika ukumbi wa messi zanzibar
 mapacha
Ndio tumeshakaribia zanzibar
Benbati likizunguka mtaani baada ya kumpokea snura zanzibar

No comments:

Post a Comment