TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Sunday, May 12, 2013

CHEKI PICHA ZA YALIYOJILI BONANZA LA TASWA NA BONGO MOVIE, WOLPER AJIPIGA MAKE-UP HADI MCHEZONI, SOMA HAPA





 Msanii wa filamu Tanzania Jacqueline Wolper akiwa amefika katika uwanja wa TTC Chango'mbe teyari kwa kujianda na mechi iliyochezwa kati ya timu ya netboll ya Bongo movi na timu ya waandishi wa habari za michezo Tanzania (TASWA) jana ambapo timu ya bongo movi iliweza kufungwa magori 33 kwa 10



 Wachezaji wa timu ya bongo movi wakipewa mawaidha na kocha wao baada ya kumaliza kipindi cha kwanza

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment