TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, April 2, 2013

AGNESS MASOGANGE ATUPIA PICHA INSTAGRAM, AKIWA ANAFANYA MAMBO YA KIKUBWA NA MPENZI WAKE, TAZAMA PICHA HIZO HAPA





Baada ya ukimya wa muda mrefu sasa Agnes Masogange inaelekea alimiss sana kuandikwa kwenye mitandao ya kijamii. Kudhihirisha hilo ameamua kutupia picha katika mtandao wa instagram akiwa na mpenzi wake wakiwa wanafanya mambo ya kikubwa. What is the meaning of this kama sio kutaka kuandikwa na wadaku katika vyombo vyao vya habari?????????? Ushauri wangu kwake, atafute kitu productive, aandikwe kwa mazuri na sio huu upuuzi anaofanya....naamini akifanya jambo jema pia ataandikwa, na huo ndio umaarufu mzuri, sio kuachia picha za uchi uchi na za ngono

Ni hayo tu......

No comments:

Post a Comment