TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Wednesday, January 30, 2013

KILI XTREME DEEJAYZ KUWASHA MOTO KWENYE LADIES NIGHT NEW MAISHA CLUB DODOMA ALHAMISS HII

 Baada ya kufanya poa mtwara na dar es salaama wale wakali wa madeejayz tanzania KILI XTREME DEEJAYZ Alhamisi ya leo wapo NEW MAISHA CLUB dodoma kutoa burudani kali . Huku mashabiki watarazimika kuchangia mchakato kidogo tu wa  buku 5000/= Mlangoni kwa akina kaka na akina dada wataingia bureee kabisa bila bughuza.

DVJ MAJEY na HYPERMAN HK wamesema wamejipanga vizuri kuhakikisha wanawapa burudani zote kali wakazi wa mjii wa dodoma na vitongoji vyake ,mashabiki wameombwa wajitokeze kwa wingi kuja kuona mambo ya KILI XTREME DEEJAYZ. 

No comments:

Post a Comment