TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, August 30, 2012

PICHA 17 ZA MUONEKANO MPYA WA PENNIEL MNGAZIJA

                                              Najua unamjua moja kati ya kina dada wenye swaga zakuzaliwa nazo nawala si zakucopy kutokana na mazingira wanayoishi huyu hapa beautiful onyinye,the first lady, wa E master,aliekuwa host wa kipindi kilichowahi kuwa gumzo la jiji cha XTREME LIVE kilichokuwa kinarushwa CHANEL 10 na sasa anakuja na kipindi kinachoitwa ZE 10,katika luninga yako ya DTV.  Huu hapa muonekano wake mpya kabisa katika kichwa chake mtindo huu kaupa jina anauita NGAZIJA STYLE. Unajua kasuka wapi? bei gani? katumia jumla kiasi gani kusuka mtindo huu uliompendeza kweli kweli.Usikose kuangaliaa kipindi cha ZE TEN kinakuja soon dtv.
Hapa akiwa nyumbani kwake
Najua unataman kujua kwenye pochi lake kuna nini?

 heleni zake ni za diamond

 uwa anapenda sana kunywa maji mengi siunaona kilimanjaro pembeni yake
 swaga is on
 pozi tu sina tatizo na mtu
 kiss kwa mbaliiii!!!
 hapa anachat bbm
 hapa akiwaza
 weweeeee
 ofice za emasters
 pozi mbalimbali akiwa kazini
 hapa akiwa oficen
picha tofauti zinazoonyesha mtindo wa ngazija style

No comments:

Post a Comment