TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Thursday, August 30, 2012

MKE WA SHELTA AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE

Mke wa shelta mama kyla akiwa na prod pancho

Kwa lugha za uswahili kwetu mtoto wa kike tunamwitaga kigodoro, kwa mana ya kwamba shelta amepata mtoto wa kike na amempa jina la kyla jana saa kumi na 11 jioni katika hospital ya st monica, shelta anasema amefurahi sana kupata mtoto wa kike japokuwa yeye alitegemea sana kupata mtoto wa kiume.lakini yote kheri amempokea kwa mikono miwili kyla katika familia yake yenye aman na upendo,
 Shelta akiwa na jux
Kushoto baba steve barnaba, katikati baba kyla shelta na kulia baba heri mr blue.

No comments:

Post a Comment