TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Monday, July 8, 2013

DIAMOND & PREZZO WALIVYOSHAMBULIA JUKWAA KWENYE TAMASHA LA MATUMAINI
7.7.2013 hii ilikuwa siku maalum ya maonesho ya sabasaba
kitaifa lakini katika kuleta watu pamoja
na kujumuika bila kujali dini wala kabila Global walianda
mashindano mbalimbali kwenye siku hii
waliyoipa jina kama Tamasha la Matumaimi mahususi kabisa
 ni kuleta maelfu ya watanzania kwa pamoja
kudumisha amani na upendo kama nchi yetu ilivyo......
Katika Siku ya leo kwenye Tamasha la Matumaini ilikuwemo
michezo tofauti lakini hapa ni kwenye
sehemu ya mwisho ya ratiba hiyo nikimaanisha ule mpambano
kati ya Diamond Platnumz na Msanii aliewakilisha
kutoka Kenya hapa namzungumzia Prezzo.......!!
Tamasha ili limefanyika kwenye uwanja mkuu wa taifa,
Jijini Dar es salaam....!!

Zifuatazo ni Picha kadhaa za Tamasha la Matumaini,mpambano
kati ya Diamond & Prezzo...!!
DJ Rommy Jones akiwasili kwenye uwanja
mkuu wa Taifa Dar es Salaam

Nikipokelewa na Mwakilishi wa Global Publishers
wahusika na waandaji wa Tamasha ili..
V.I.P nikiwa na mazungumzo machache na Mkurugenzi
mtendaji wa Global Publishers
Erick Shigongo...
MY CREW,MY ACCESS WITH WASAFI STAGE MANAGER QBOY MSAFII...
Nikichonga jambo na ndugu yangu nikisubiria kufanya yale yaliyotuleta...
Mwana F.A akishow Love na Msanii toka Kenya
 Prezzo akiwa anaelekea jukwanii...
Prezzo akipunga kofia kwa hewa kuwasalimu
watanzania waliofurika uwanjani hapo...






Prezzo akifanya yake uwanjani...!!

Prezzo akiwa amevalia tshirt yenye bendera mbili,Kenya
 & Tanzania hii akimanisha ana damu mbili....
Kama ujui ngoja nikujuze.......Mama mzazi wa Prezzo ni
Mtanzania kabisa toka mwanza...
Mose Iyobo & Dumi Utamu...
On set wasafi wakijianda kwenda jukwanii....



Afe kipa.....Afe beki lakini ushindi lazima....
Ajajajaja hatari sana Roboti kwa hewa....
Mzee mzima mwenyewe nikawasili sasa kuna ule
msemo usemao nyumbani ni nyumbani...
Twende sasa ni kikwetu kwetu tu
Shuguli ikamia chini sasa....


Nikuakikisha kila mmoja anaweza niona ni mpera mpera tu...
Hapo je......??? Tuimbe wote sasa..


Noma kweli......viuno mbele mbele...!!




Shuguli ikarudi jukwani sasa kila mtu aone kile wasafi
nini tunafanya....ni kujipanga tu
kila idara thanks kwa Twins Fashion kuhakikisha
 tunang'a tukiwa stejini...



Ni huku na kule patashika ya wasafi...
Yanii....mizuka imepanda mule mule yanii....
In Nay wa Mitego voice ''anha nyie watoto mchele mchele...kwenye show
viuno mbele mbele...''
Nimemaliiiizaaaaaaa...!!
Interview baada ya show.....

Choka sana mtu wangu...asikwambie mtu ile
shugulli pale yataka mazoezi na
mapenzi toka moyoni bila kujali mazingira kuhakikisha
unakizi mahitaji ya mashabiki zako


Wasafi dancers & I n My Blood cuzin Rommy Jones.

Hapo sasa kujitia kujua ngumi mwisho wa siku nkapelekewa jebu na
Dancer wangu....usiguse moto huu kabisa....
Hapana chezea...sio muziki tu hata kwenye masumbwi nimo....

No comments:

Post a Comment