TANGAZO MAALUM

TANGAZO MAALUM
.

TANGAZA NA SISI

TANGAZA NA SISI KWA BEI NAFUU TUPIGIE KUPITIA 0713 57 57 18 AU TUMA BARUA PEPE DTV@EML.CO.TZ

Tuesday, November 25, 2014

MTOTO CAREEN MALIKI ANAYETIKISA DODOMA KWA POZI ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA JANA..TAZAMA YALIYOJIRI

Mtoto Carren Maliki Anayetikisa Dodoma kwa jinsi alivyokuwa Mrembo (BEAUTYFUL) siku ya jana alikuwa anasherekea siku yake ya kuzaliwa.Caree alipata fursa ya kusherekea siku yake ya kuzaliwa kwa furaha na upendo akiwa pamoja na wazizi wake wanayempenda kwa dhati pamoja na marafiki zake wa karibu....Careen hakupenda kuficha miaka yake kama wafanyavyo wakina Mema Sepetu,Wolper,Lulu na wengine kibao ... Careen aliweka wazi miaka yake na jana ndio ametimiza miaka miwili CONGRATULATION CAREEN.....I WISH YOU A VERY HAPPY BIRTHDAY


Careene akiwa kwenye pozi tofauti tafauti





careen akiwa na marafiki zake wakisherekea kwa pamoja

 Careen akiwa na mama yake

Ilikuwa ni furaha kubwa sana kwa Careen kukutana na marafiki zake pamoja na ndugu na kusherekea nao kwa pamoja....
Hii ndio Cake Ambayo careen aliandaliwa na Wazazi wake................

Careen akiwa na wazazi wake wakifurahi kwa pamoja





HAYA TENA>>WAKATI TEAM WEMA WAKIENDELEA KUMPONDA ZARI KUWA NI MZEE NA ANAWATOTO>>>TEAM DIAMOND WACHARUKA



This is one of Diamond fan's INSTAGARM account....These are some of photos they posted....


KWELI MWANADADA LULU NDIO DIVA ALIABAKIA HAPA MJINI>>>HEBU JIONEE MAUTAMU KWA PICHA HIZI>>

HATIMAYE WEMA SEPETU AONYESHA HISIA ZAKE JUU YA PICHA HII KWA KU-COMMENT KWA KUKEBEHI>>>SOMA HAPA>

Wema gives a Comment on Zari and Diamond's K!ssing Photo

Wednesday, November 5, 2014

MISS RUVUMA MATATANI KWA KUMSHAMBULIA MWANDISHI WA HABARI WA 93.7 E-FM RADIO!



  Livingstone Mkoi kushoto akiwa kazini na wanahabari wenzake wakitimiza majukumu yao
  Bw. Livingstone Mkoi mwandishi wa habari wa 93.7 E-FM RADIO na mkurugenzi mtendaji wa Gazeti la Maskanibongo

 Kalama na Isabela Mpanda ambae anatafutwa kwa tuhuma hizo
Na Salim Ramadhan
 Miss zilipendwa 2007 toka Ruvuma Isabelah Mpanda ameingia anga mbaya baada ya kumtukana matusi mazito mwandishi wa habari wa kituo kipya cha radio cha E-fm 93.7,  Bw Livingstone Mkoi. Miss Ruvuma huyo ambae kwa sasa ni mwanamuziki amedaiwa kutenda kosa hilo usiku wa tarehe 4 kuamikia tareh 5 mwezi huu baada ya kuandika ujumbe wa maneno ya kumkashfu mwandishi huyo pamoja na kumtukana matusi mazito bila kufahamika sababu za msingi. Hata hivyo kwa mujibu wa mwandishi huyo aliuambia mtandao huu kuwa siku ya Jumanne asubuhi wakati akijiandaa kuelekea kwenye majukumu yake ya ujenzi wa taifa alipokea simu toka kwa watu wake wa karibu wakimpatia pole huku yeye akishangaa kulikoni kwa pole hizo. Baada ya kuelezwa kulichotokea mwandishi huyo aliingia mtandaoni na kujionea udhalilishaji huo wa matusi ya nguoni huku pia mrembo huyo akiweka picha ya mwanahabari huyo ambae pia ni mkurugenzi mtendaji wa Gazeti la Maskani Bongo. Kufuatia mambo hayo mwanahabari huyo alienda kutuoa taarifa Polisi kituo kidogo cha Polisi kilichopo Kinondoni Moscow ambapo walimfungulia jalada KH/RB/1132/2014 KUDHALILISHA KUTUMIA MTANDAO/ MATUMIZI MABAYA YA MTANDAO na tayari jalada hilo limetua Oysterbay Polisi kwa ajili ya kufanyiwa kazi. Aidha mwandishi alipouulizwa kama ana ugomvi wowote na mrembo huyo alisema “ Hapana sikuwa kuwa na ugomvi nae namheshimu  kama dadangu na huwa nashirikiana mambo mengi kiukweli sielewi imekuaje yani” Alisema Mkoi Mtandao huu ulimtafuta Mrembo huyo ili aelezee tuhuma hizlo lakini simu yake ya kiganjani iliita bila kupokelewa hadi news hii inaruka hewani kama hivi.

Monday, November 3, 2014

KUFURU YA KUFUNGA 2014. ANGALIA BILLIONE WA DODOMA ALIVYOTEKEZA 15 MILIONI KWA AJILI YA WATU KULA BATA USIKU 1 TU. ILIKUWA BALAA..!



Priscuss Alexandar  Ambaye ni mfanya biashara maarufu mkoani  Dodoma na pia ni mmiliki wa mabasi ya PAC akiwa na ndugu jamaa na marafiki wa kiribu kwenye tafrija fupi iliyofanyika nyumbani kwake maeneo yaAre c ya kufurahia binti yake Phainess Priscuss Malya kupokea kipaimara  siku ya jana


MR Halfani  & Erick Mshana

BABA NA MWANA


Msouth Cate & halfani



















MAAJABU YA KARNE: SHEKH SHARIF KHAMIS WA TANZANIA AENDESHA MELI BILA KUSOMEA URUDANI, TUKIO LIMETOKEA NCHINI KONGO WATU WASHIKWA NA HOFI KUBWA...!


Shekh Sharif Khamis hapa ndipo alipowaacha watu midomo wazi na mshangao baada ya kuendesha Meli wakati hajawahi kusomea urubani.
Shekh Sharif Khamis mwenye kiremba cha blue akiwa amezungukwa maustaadh wa nchini Kongo.



 Maelfu ya wakazi wa mji wa Goma wakiwa kwenye muhadhara kumsikiliza miujiza ya uponyaji wa dua za Shekh Sharif Khamis.


Shekh Sharif Khamis ambae ametenda miujiza ya karne baada ya kuendesha Mell bila kuwahi kwenda chuo cha udereva

Na Sharifa Abdalah- Bukavu Kongo
Ukisikia hizi habari kwenye radio unaweza usiamini unaweza ukadhani ni kichekesho ama hadithi lakini ni kweli yametokea, kijana wa kitanzania Shekh Sharif Khamis ambae kadri anavyokuwa kiumri ndipo anazidi kufanya miujiza ya kipekee na ya kuogopesha.

Akiongea na Maskanibongotz mwandishi wetu aliyeko mji wa Bukavu Shekh Sharifu ambae kabla ya kutua nchini Kongo alikuwa nchi ya Uturki alikokuwa amepewa mwaliko na Serikali ya huko kwa ajili ya kwenda kufanya dua na huko nako alifanya maajabu. 
Hata hivyo kwenye tukio hilo la kuendesha meli ilikuwa  wakati wakiwa ndani ya Meli wakitokea mji wa Goma kwenda Bukavu ndipo kijana huyo alipomwambia nahodha wa meli hiyo kuwa anaweza kuendesha mtambo huo huku mamia ya watu wakishuhudia palitokea mabishano makubwa huku manahodha mbalimbali wakimwambia hawezi kuendesha meli hiyo kwa vile kama hajawahi kusomea uderva hawezi kufanya kitu kama hicho.
Baada ya mabishano ya muda mrefu nahodha wa meli hiyo iliyofahamika kwa jina la MV Emmanul alipompa nafasi Shekh huyo na katika hali isiyokuwa ya kawaida kijana huyo alianza kusukuma mtambo huo huku kila mtu akipigwa na butwaa kwa tukio hilo na aliendesha kwa muda mrefu hadi kufika mji wa Bukavu na kutia nanga.
Kufuatia tukio hilo mamia ya watu walimuogopa Mungu kwa maajabu. hiyo huku manahodha wakisema huo ulikuwa ni maajabu. mkubwa na wengine wakishindwa kuamini kama kijana huyo ni binadamu wa kawaida ama ni maajabu.
Hata hivyo wananchi wa Kongo wamemuomba Shekh Sharif kuwafikishia shukrani zao kwa Mh Jakaya Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuwasaidia kwa kupeleka Majeshi nchini huko mwao.