Ney wamitego afanye remix ya wimbo wake ampake na criss brown?
TANGAZO MAALUM
.
TANGAZA NA SISI
Tuesday, September 18, 2012
CRISS BROWN NAE ATOBOA PUA KAMA CHID BEENZ
SILII TENA,NIMESHAANZA KUZOEA MAZINGIRA - LULU
Elizabert michael a.k.a lulu akitabasamu tofauti na mara za kwanza alivyokuwa akipelekwa mahakamani alikuwa ni mtu wa vilio mwanzo mwisho.
Dr Cheni ,msanii
pekee anaeonyesha kujitoa kikamilifu kufuatilia hii kesi kwa ukaribi kuhakikisha
Elizabeth Michael (Lulu) anakuwa huru.Apa akiongea na Wakili wake
Lulu.
Lulu anaonekana Kupendeza zaidi hasa
kunenepa wakati kila mtu anaamini yuko kwenye kipindi kigumu sana pengine kuliko
vipindi vyote katika maisha yake tangu azaliwe.Kingine najiulizaga siku zote ile
mimba ambayo ilikua ikiongelewa sana imepotelea wapi? Anyways.
Xdeejayz Tuinaungana na Mashabiki wake wengi na wapenda Burudani wote kumuombea binti huyu
wa Mzee Michael amfanyie wepesi atimae awe huru tuendelee kupata burudani yake
ktk Bongo Muviz.
DODOMA MKO TAYAREEEEEEEEEEEEEEEE,HII INAWAHUSU WAKAZI WA DODOMA.
XTREME DEEJAYZ Wiki hii siku ya jumamosi 22-09 tutakuwa New maisha club dodoma kwenye muendelezo wa triple bash ambayo itafanyika katika club 3 za New maisha club yaani dar dodoma,na mtwara. Dar tayari imefanyika jumamosi iliyopita na wiki hii ni dodoma baada ya dodoma mtwara tunakuja.kitakachofanyika ni burudani ya ngoma kali kutoka kwa madeejay wa xtreme mwanzo kati mwisho, hakuna msaniii wala maneno mengi zaidi ya hyping za kufa mtu kutoka kwa hyperman hk na ngoma kali za video kutoka kwa dvj majay hii sio yakukoa kiingilio ni tsh 10 tu.
Monday, September 17, 2012
YALIOJIRI KWENYE TAMASHA LA NI WAKATI WAKO NA DTV
Wacheza show wa Snura t,i walifanya kufuru walifunika bovu
Scopion gal wakiwa back stage wanakula vyombo
Dogo aslay na bibi cheka wakipewa shangwe zakufa mtu
chezea scopion gal wewe
Snura t.i alifunika mbayaaaa
Dj bike na aidan pia walikuwepo
mashujaa band walikiwasha mbaya na style yao mpya bya dereva wa bodaboda
Bi cheka akipiga free style
Mratibu wa tamasha la NI WAKATI WAKO NA DTV hemed kavu (HK) akiwa na mtangazaji wa kipingi cha harusini SINTA
Dvj majay na sound man skit wakiweka mambo sawa
Scopion gal walipoteza nao
Sunday, September 16, 2012
NIWAKATI WAKO TOUR YA DTV YAVUNJA RECORD KWA IDADI WATU.
Umati wa watu wafulika leo katika viwanja vya sinza darajani kwenye show ilioandaliwa na DTV atambukayo kama ni wakati wako tour.
Saturday, September 15, 2012
MAISHA CLUB MTWARA TEAM
Entertainment Manager... Mr. Cherls kulia akiwa Garden Bar @ Maisha Club Garden Bar
Mr. Cherls akiwa na Dj Mo pamoja na Supervisor Mr. David
Mr. Cherls akiwa na Dj Mo pamoja na Supervisor Mr. David
HATULALI MPAKA KIELEWEKE - NI WAKATI WAKO TOUR,SINZA DARAJANI JUMAPILI HII
Maandalizi mwanzo mwisho alali mtu mpaka tuakikikishe stage iko tayari leo usiku kucha tunakesha kuweka stage kwa ajili ya tamsha la niwakati wako tour litakalofanyika jumapili hii ya 16 mwenzi wa tisa,wasanii kibao kutumbuiza,tunda man,juma nature,aslay,bi cheka,dogo janja ,pnc,scopion girl,sharo milionear,mahokaz,snura,nk.
Subscribe to:
Posts (Atom)
















