TANGAZO MAALUM
.
TANGAZA NA SISI
Tuesday, April 1, 2014
MAAJABU MAKUBWA, RAIS OBAM ATUMIA SIMU SHILINGI ELFU 45 ZA KITANZANIA, WAKATI WAKO WATANZANIA WANAOTUMIA SIMU HADI ZA MILIONI TANO..!
Hii ni noma sana angalia hapa Rais wa Dunia akisoma ujumbe uliopo kwenye simu hiyo huku walinzi wake wakimtizama.
MABASI YA MHESHIMIWA SHABIBY YAZUSHA BALAA NCHINI WANAINCHI WAPIGWA NA BUTWAA NA KUSHINDWA KUAMINI ANGALIA HAPA..!
Hayawi hayawi yamekuwa,zile basi zetu
tulizokuwa tukizisubiri kwa
hamu na kwa muda mrefu zimeshafika katika bandari ya mombasa nchini
kenya. Kwa hiyo kampuni ya Shabib inawaomba wadau wake wa mikoa yote
ambayo wamekuwa wakitoa huduma za usafiri kukaa mkao wa kula kwani
utaratibu wa kuzitoa
bandarini umeshakamilika na tayari zimeshavuka mpaka kuja nchini
Tanzania.
PIA
IJUMAA HII KUTAKUWA NA PARTY YA UZINDUZI WA MABASI HAYA MJINI DODOMA
ITAKAYOFANYIKA ROYAL VILLAGE KUANZIA SAA MOJA NA HAKUNA KIINGILIO, NA
KUTAKUWA NA WASANII KIBAO, USIKOSE WA TANZANIA.RADIO MPYA HIYO HEWANI, UZINDUZI WAKE KUFURU JIJINI DAR WAHESHIMIWA WABUNGE WATOA PONGEZI KWA WAMILIKI WAKE JIJI LA DAR KUSHIKWA NA HOFU KUBWA..!
Mafundi toka Ujerumani wakiwa kwenye hatua za mwisho kufunga mitambo hiyo hivi karibuni
Naibu Waziri wa Mawasiliano Mh January Makamba akiwa na Mh Hemed Shabiby Mbunge wa Gairo ambao waheshimiwa hao wamepongeza ujio wa radio hiyo mpya inasubiliwa kwa hamu kubwa na wananchi.
Vifaa vya ndani radio hiyo ya kisasa itakayokuwa inapatikana masafa ya 93.7 fm.
Chumba cha ON AIR CHA 93.7 FM kama kinavyooneka kwa ndani.
Na Livingstone Mkoi
Kituo kipya cha radio kitakachopatikana masafa ya 93.7 Fm Jijini Dar siku zake zinahesabika kuanzia sasa kabla ya kuwafikia wananchi wote Tanzania.
Kwa mujibu wa mmoja wa wakurugenzi wa kituo hicho aliiambia Xdeejayz kuwa" Aah tunamshukuru Mungu sehemu kubwa ya maandalizi ni kama imeisha na tuko kwenye hatua za mwisho kuiachia hewani ili mashabiki wapate kile kilichokuwa kimekosekana kwenye radio hizi nyingine" Alisema Mkurugenzi huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake kwa madai kuwa bado ni mapema sana.
Aidha kigogo huyo aliongeza kusema kuwa watafanya uzinduzi kwa mashabiki ili kuwatendea haki" Unajua mshabiki ndiyo wasikilizaji hivyo ni vyema tukawapa kipaumbele wao na sio siku nyingi tutafanya uzinduzi rasmi ili wapate nafasi ya kuwa karibu na radio yao" Alisema
Katika hatua nyingine mwishoni mwa juma waheshimiwa wabunge Jijini Dodoma walipongeza ujio wa radio hiyo mpya ikayoanza kupatikana zaidi ya mikoa sita kutokana na mitambo yao kuwa ya kisasa na yenye nguvu kubwa.
Naibu Waziri wa Mawasiliano Mh January Makamba akiwa na Mh Hemed Shabiby Mbunge wa Gairo ambao waheshimiwa hao wamepongeza ujio wa radio hiyo mpya inasubiliwa kwa hamu kubwa na wananchi.
Vifaa vya ndani radio hiyo ya kisasa itakayokuwa inapatikana masafa ya 93.7 fm.
Chumba cha ON AIR CHA 93.7 FM kama kinavyooneka kwa ndani.
Na Livingstone Mkoi
Kituo kipya cha radio kitakachopatikana masafa ya 93.7 Fm Jijini Dar siku zake zinahesabika kuanzia sasa kabla ya kuwafikia wananchi wote Tanzania.
Kwa mujibu wa mmoja wa wakurugenzi wa kituo hicho aliiambia Xdeejayz kuwa" Aah tunamshukuru Mungu sehemu kubwa ya maandalizi ni kama imeisha na tuko kwenye hatua za mwisho kuiachia hewani ili mashabiki wapate kile kilichokuwa kimekosekana kwenye radio hizi nyingine" Alisema Mkurugenzi huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake kwa madai kuwa bado ni mapema sana.
Aidha kigogo huyo aliongeza kusema kuwa watafanya uzinduzi kwa mashabiki ili kuwatendea haki" Unajua mshabiki ndiyo wasikilizaji hivyo ni vyema tukawapa kipaumbele wao na sio siku nyingi tutafanya uzinduzi rasmi ili wapate nafasi ya kuwa karibu na radio yao" Alisema
Katika hatua nyingine mwishoni mwa juma waheshimiwa wabunge Jijini Dodoma walipongeza ujio wa radio hiyo mpya ikayoanza kupatikana zaidi ya mikoa sita kutokana na mitambo yao kuwa ya kisasa na yenye nguvu kubwa.
WASANII BONGO MOVIE WAMNANGA JACKLINE WOLPER UKUMBINI MMH NI MANENO MAZITO ANGALIA HAPA WALICHOMWAMBIA..!
XDEEJAYZ: Msaanii Jackline Wolper akionekana na kibiyongo chake ukumbini.
XDEEJAYZ: Msaanii Jackline Wolper akionekana na kibiyongo chake ukumbini.
Na Sakina Shabani
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wasanii bongo movie mwishoni mwa juma kwenye pati ya kundi hilo walitumia muda mwingi kumnanga msanii mwenzao Jackline Wolper eti anakisogo kama katuni Madenge.
Xdeejayz ambayo ilikuwepo ukumbini ilishuhudia wasanii wakimsema mwenzao kama hivi" Huyu nae kujishaua kwanza bichwa kama madenge angalia kichogo chake kule" Alisema mmoja wa wasanii wakubwa tu
CREDIT: XDEEJAYZ TANZANIA
XDEEJAYZ: Msaanii Jackline Wolper akionekana na kibiyongo chake ukumbini.
Na Sakina Shabani
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wasanii bongo movie mwishoni mwa juma kwenye pati ya kundi hilo walitumia muda mwingi kumnanga msanii mwenzao Jackline Wolper eti anakisogo kama katuni Madenge.
Xdeejayz ambayo ilikuwepo ukumbini ilishuhudia wasanii wakimsema mwenzao kama hivi" Huyu nae kujishaua kwanza bichwa kama madenge angalia kichogo chake kule" Alisema mmoja wa wasanii wakubwa tu
CREDIT: XDEEJAYZ TANZANIA
KUMBE MR NICE ILIKUWA ALIWE KIBOGA KISA KIKIWA MKE WA MTU, LAKIBI MUNGU AKASAIDIA AKIISHIA KUPASULIWA VIBAYA TAARIFA ZAKE HIZI HAPAKJN/RB/2698/014- SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI.
Na Sakina Shabani
Ni ukweli kwamba Mungu alisaidia tu kitendo cha Mr Nice kupigwa na imekuwa nafuu kwake kuliko tukio ambalo huenda lingekuwa baya sana kwenye maisha yake la kuliwa kiboka kwa vijana waliokuwa wamepanga kumdhalilisha mwanamuziki huyo mwenye heshima kubwa Afrika Mashariki na kati.
Baada ya gazeti moja jana Jumatatu kutoa taarifa za kupigwa kwa Mr Nice kisa kikiwa mke wa mtu Xdeejayz imezama ndani kufatia ishu hiyo na kupata mkanda mzima toka kwa watu walioshuhudia tukio hilo waliiambia Xdeejayz kuwa ' Jamani huyu kijana anapaswa kumshukuru Mungu kwa adhabu hii ya kupigwa kuliko nia waliyokuwa wamepanga kumfanyia ya kwenda kumla uloda kisha kumpiga picha hizo za aibu" Alisema mama huyo ambae alimuonea huruma sana mwanamuziki huyo wakati akipewa kipigo
CREDIT: XDEEJAYZ TANZANIA
Ni ukweli kwamba Mungu alisaidia tu kitendo cha Mr Nice kupigwa na imekuwa nafuu kwake kuliko tukio ambalo huenda lingekuwa baya sana kwenye maisha yake la kuliwa kiboka kwa vijana waliokuwa wamepanga kumdhalilisha mwanamuziki huyo mwenye heshima kubwa Afrika Mashariki na kati.
Baada ya gazeti moja jana Jumatatu kutoa taarifa za kupigwa kwa Mr Nice kisa kikiwa mke wa mtu Xdeejayz imezama ndani kufatia ishu hiyo na kupata mkanda mzima toka kwa watu walioshuhudia tukio hilo waliiambia Xdeejayz kuwa ' Jamani huyu kijana anapaswa kumshukuru Mungu kwa adhabu hii ya kupigwa kuliko nia waliyokuwa wamepanga kumfanyia ya kwenda kumla uloda kisha kumpiga picha hizo za aibu" Alisema mama huyo ambae alimuonea huruma sana mwanamuziki huyo wakati akipewa kipigo
CREDIT: XDEEJAYZ TANZANIA
MASKINI DIAMOND NI KWELI AMEGONGWA NA GARI NIGERIA HALI YAKE SIO NZURI WATANZANIA TUTEME MATE CHINI, WEMA AANGULIA KILIO BAADA YA KUPIGIWA SIMU NA XDEEJYZA NA KUPEWA TAARIFA HIZO..!
Habari
tulizozipata hivi punde ni kua Msanii Diamond aliyeponigeria amepata
ajali mbaya na kuvunjika miguu yake yote miwili. Habari tulizozipata
kutoka chanzo makini kinasema kua ajali hiyo ilitokea eneo la ouagadugu
katikati ya Nigeria wakati Diamond alipokua akivuka Barabara.Hata hivyo baada ya taarifa hizo Xdeejayz jana usiku ilimtafuta Wema Sepetu kupitia simu yake ya kiganjani na ili kujua ukweli wa taarifa uvumi huo ambapo kumbe Wema mwenyewe alikuwa hajui kitu ambapo baada ya kufikishiwa tu taarifa hizo basi alianza kulia kwa sauti ya juu tena kwa uchungu kisha kukata simu yetu.
CREDIT:XDEEJAYZ TANZANIA
Subscribe to:
Posts (Atom)



